logo
swahili
05:40
Ulimwengu
Kwa Nini Tetemeko la Ardhi la Morocco Lilisababisha Vifo Vingi?
Tetemeko la ardhi la Morocco lililotokea 11 Septemba 2023 ambalo hadi sasa limeua watu zaidi ya 3000 lilisikika katika nchi tatu ambazo ni Algeria, Ureno na Uhispania. Wataalamu wa majanga wanasema, hili ni tetemeko kubwa zaidi kuwahi kutokea nchini humo katika kipindi cha zaidi ya miongo mitano. Wataalamu wanasema, madhara ya tetemeko la ardhi yanaweza kuchangiwa na vigezo kadhaa na pia kuna aina tofauti ya matetemeko. Tetemeko la Morocco lilikuwa la kina kifupi ndio maana lilisababisha madhara makubwa zaidi. Lakini mbona tetemeko hilo liliua watu wengi kiasi hicho?
Tazama Video zaidi
Kenya na mabaki na makovu kutoka kwa mateso ya Malaika wa Kuzimu wa BATUK
Mali yapokea vifaa vya kijeshi kutoka Uturuki kwa ajili ya kupambana na ugaid
Morara Kebaso, wakili mwanaharakati nchini Kenya, anavyotumia mitandao ya kijamii kuikosoa serikali
Ushirikiano wa Uturuki na nchi za Kiafrika
Jumba la makumbusho ya Maradona
Je, unaijua ndoto ya 'Israeli Kubwa'?
Vimbunga, dhoruba za kitropiki na taifuni ni nini?
Malkia wa Taarab Khadija Kopa ni nani?
P Diddy na Masaibu Yake
Holy Redemption: Kunyakua Ardhi ya Palestina
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us