logo
swahili
01:00
Ulimwengu
Wanaovaa sketi fupi, suruali za kubana wapigwa faini Tanzania
Katika kijiji cha Arumeru Tanzania, wanaovaa sketi fupi, suruali za kubana au herini watapigwa faini ya TSh50,000. Pia kijana yeyote mwenye nguvu amepigwa marufuku kutofanya kazi na pia akionekana kuzurura asubuhi bila kazi atapigwa faini ya Sh50,000 nchini Tanzania. Vijana wa kiume pia wamepigwa marufuku kusuka nywele, kunyoa upande mmoja wa kichwa na kubakisha nywele katikati ya kichwa maarufu kiduku.
Tazama Video zaidi
Kenya na mabaki na makovu kutoka kwa mateso ya Malaika wa Kuzimu wa BATUK
Mali yapokea vifaa vya kijeshi kutoka Uturuki kwa ajili ya kupambana na ugaid
Morara Kebaso, wakili mwanaharakati nchini Kenya, anavyotumia mitandao ya kijamii kuikosoa serikali
Ushirikiano wa Uturuki na nchi za Kiafrika
Jumba la makumbusho ya Maradona
Je, unaijua ndoto ya 'Israeli Kubwa'?
Vimbunga, dhoruba za kitropiki na taifuni ni nini?
Malkia wa Taarab Khadija Kopa ni nani?
P Diddy na Masaibu Yake
Holy Redemption: Kunyakua Ardhi ya Palestina
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us