logo
swahili
03:24
Ulimwengu
Malkia wa Taarab Khadija Kopa ni nani?
Malkia wa Taarab Khadija Kopa ni nani? Hii hapa ni safari ya muziki ya Khadija Kopa katia muziki wa Taarab. Khadija Kopa ameshiriki karika makundi mbalimbali kama vile Culture Musical Club, Muungano Cultural Troupe na Tanzania One Theatre maarufu kama TOT. Baadhi ya nyimbo zake maarufu ni kama vile 'TX Mpenzi', 'Top in Town', 'Gwiji', 'Unaringa Umepima' na 'Tutabanana hapahapa'. Watoto wake wawili pia walifuata nyayo zake katika uimbaji, akiwemo Omari Kopa aliyefariki dunia mwaka 2008 na Zuchu, msanii nyota wa Bongo Flava kutoka nchini Tanzania.
Tazama Video zaidi
Kenya na mabaki na makovu kutoka kwa mateso ya Malaika wa Kuzimu wa BATUK
Mali yapokea vifaa vya kijeshi kutoka Uturuki kwa ajili ya kupambana na ugaid
Morara Kebaso, wakili mwanaharakati nchini Kenya, anavyotumia mitandao ya kijamii kuikosoa serikali
Ushirikiano wa Uturuki na nchi za Kiafrika
Jumba la makumbusho ya Maradona
Je, unaijua ndoto ya 'Israeli Kubwa'?
Vimbunga, dhoruba za kitropiki na taifuni ni nini?
P Diddy na Masaibu Yake
Holy Redemption: Kunyakua Ardhi ya Palestina
Biashara Hewa ya Dhahabu Nchini Kenya
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us