logo
swahili
Dondoo za TRT Afrika | 30 Mei
03:58
Afrika
Dondoo za TRT Afrika | 30 Mei
Chama cha CCM Tanzania chafanya maboresho ya katiba yake na kundi la Hamas lasema pendekezo la Israeli la kusitisha mapigano halikidhi matakwa yake.

Vichwa vya habari:

  • Chama cha CCM Tanzania chafanya maboresho ya katiba yake

  • Kundi la Hamas lasema pendekezo la Israeli la kusitisha mapigano halikidhi matakwa yake

  • Bendera ya Marekani yapeperushwa tena Syria tangu 2012

  • Wakorea Kusini wajitokeza kwa wingi kupiga kura

  • Uturuki yasindikiza meli ya uzalishaji gesi kuelekea Bahari Nyeusi

Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us