logo
swahili
Habari zaidi
Michezo
PSG ya Luis Enrique yaidhalilisha Real Madrid kwa kuichabanga mabao 4-0
PSG ya Luis Enrique yaidhalilisha Real Madrid kwa kuichabanga mabao 4-0
Real Madrid, ambao ni mabingwa wa kihistoria wa Ulaya, walikubali kichapo cha magoli 4-0, mbele ya Paris Saint-Germain katika mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Dunia kwa ngazi ya klabu.
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us