Maoni
Mambo matano ya kujifunza kutoka kwa Eritrea kipindi hiki cha kusitishwa kwa misaada duniani
Eritrea imekuwa imara katika kuhakikisha kuwa misaada kutoka nje inalingana na vipaumbele vyake kama taifa, msimamo uliowafanya wawe na udhibiti makini wa mipango yake ya maendeleo kuliko kutegemea maelekezo ya wafadhili yanayobadilika mara kwa mara.Eritrea imekuwa imara katika kuhakikisha kuwa misaada kutoka nje inalingana na vipaumbele vyake kama taifa, msimamo uliowafanya wawe na udhibiti makini wa mipango yake ya maendeleo kuliko kutegemea maelekezo ya wafadhili yanayobadilika mara kwa mara.
Habari zaidi
Maspika wa Bunge wa nchi 13 wanapaza sauti zao dhidi ya mashambulizi ya Israel huko Gaza
Maspika wa bunge kutoka nchi 13 walikusanyika mjini Istanbul, ambako walilaani mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Gaza, wakataka hatua za haraka za kimataifa, na kusisitiza kuunga mkono Palestina.
Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki kuzuru Algeria kwa mazungumzo ya kimkakati
Hakan Fidan atakuwa mwenyekiti mwenza wa mkutano wa 3 wa Kundi la Pamoja la Mipango la Uturuki-Algeria na mwenzake wa Algeria.
Roboti zakimbia pamoja na wanadamu katika mbio za marathon za Uchina
Tien Kung Ultra inayotengenezwa na China ilikamilisha mbio ya kilomita 21 kwa muda wa saa 2 tu dakika 40, na kuwaongoza takriban watu 20 walioanza kozi ya humanoid.
Idadi ya waliofariki katika ajali ya boti DRC imeongezeka hadi 148
Erdogan: Kufika Msikiti wa Al Aqsa ni kuvuka mpaka
Mzozo wa DRC: Rwanda kuruhusu vikosi vya Kusini mwa Afrika kupitia kwao
Rais wa Uturuki ashtumu Israeli kwa mashambulizi ya Gaza, atoa wito kwa dunia kuwajibika
Tanzania: Chama cha CHADEMA chahoji alipo Mwenyekiti wake Tundu Lissu
Maspika wa Bunge wa nchi 13 wanapaza sauti zao dhidi ya mashambulizi ya Israel huko Gaza
Maspika wa bunge kutoka nchi 13 walikusanyika mjini Istanbul, ambako walilaani mashambulizi yanayoendelea ya Israel dhidi ya Gaza, wakataka hatua za haraka za kimataifa, na kusisitiza kuunga mkono Palestina.
Waziri wa mambo ya nje wa Uturuki kuzuru Algeria kwa mazungumzo ya kimkakati
Hakan Fidan atakuwa mwenyekiti mwenza wa mkutano wa 3 wa Kundi la Pamoja la Mipango la Uturuki-Algeria na mwenzake wa Algeria.
Roboti zakimbia pamoja na wanadamu katika mbio za marathon za Uchina
Tien Kung Ultra inayotengenezwa na China ilikamilisha mbio ya kilomita 21 kwa muda wa saa 2 tu dakika 40, na kuwaongoza takriban watu 20 walioanza kozi ya humanoid.
Idadi ya waliofariki katika ajali ya boti DRC imeongezeka hadi 148
Erdogan: Kufika Msikiti wa Al Aqsa ni kuvuka mpaka
Mzozo wa DRC: Rwanda kuruhusu vikosi vya Kusini mwa Afrika kupitia kwao
Rais wa Uturuki ashtumu Israeli kwa mashambulizi ya Gaza, atoa wito kwa dunia kuwajibika
Tanzania: Chama cha CHADEMA chahoji alipo Mwenyekiti wake Tundu Lissu
Video
Kinjekitile Ngwale na Vuguvugu ya Maji MajiKinjekitile Ngwale na Vuguvugu ya Maji Maji
00:00
Fahari ya Afrika: Matumbawe ya Watamu nchini KenyaFahari ya Afrika: Matumbawe ya Watamu nchini Kenya
00:00
Imani za Kiafrika: mtoto kuinama na kuangalia nyuma kupitia miguuniImani za Kiafrika: mtoto kuinama na kuangalia nyuma kupitia miguuni
00:00
Uwanja wa Ndege wa Istanbul unakuwa wa kwanza Ulaya kuzindua ndege tatu kuruka kwa wakati mmojaUwanja wa Ndege wa Istanbul unakuwa wa kwanza Ulaya kuzindua ndege tatu kuruka kwa wakati mmoja
01:06
Utajiri wa Afrika: Farasi wa EthiopiaUtajiri wa Afrika: Farasi wa Ethiopia
00:00
Michezo
Real Madrid ya Hispania itakuwa ina nafasi ya kujiuliza mbele ya Arsenal ya Uingereza, katika ‘Usiku wa Ulaya’, baada ya kubugizwa mabao 3-0 na vijana wa Mikel Arteta kwenye mchezo wao wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Modrić ndiye mchezaji aliyeichezea timu yake ya taifa ya Croatia mara nyingi zaidi, ana umri wa miaka 39, na msimu huu pekee amecheza mechi 45 akiwa na Real Madrid, na kufunga magoli manne.
Wenyeji Misri, mabingwa mara tatu wa kundi A, watamenyana na Zambia, Sierra Leone, Afrika Kusini na Tanzania katika kundi gumu.
Bedatu Hirpa wa Ethiopia ameshinda mbio za wanawake katika mbio za Paris Marathon, huku Mkenya Benard Biwott akiibuka kidedea katika mbio za wanaume.
Infografiki
Nchi za Afrika zinazoongoza kwa furahaNchi za Afrika zinazoongoza kwa furaha
Nchi za Afrika zinazoongoza katika mazao ya kilimoNchi za Afrika zinazoongoza katika mazao ya kilimo
Mikoa Tanzania iliyo na idadi kubwa ya laini za simuMikoa Tanzania iliyo na idadi kubwa ya laini za simu
Pesa zilizotumwa na Diaspora wa Afrika MasharikiPesa zilizotumwa na Diaspora wa Afrika Mashariki
Soma zaidi