Kwa ufupi tu
swahili
swahili
MAKALA MAALUM
Biashara haramu ya usafarishaji punda inavyotawala mpakani wa Tanzania na Kenya
Takwimu za hivi karibuni zilizotolewa taasisi ya AIPWA, kila mwezi, punda wapatao 150 kutoka Tanzania, huingianchini Kenya kwa njia zisizo halali.
Na
Edward Josaphat Qorro
SIASA
UTURUKI
AFRIKA
JARIDA
MAONI
MICHEZO
Makala kuu wiki hii
Julai 15: Usiku ambao watu walivishinda vifaru huko Uturuki
Katika maadhimisho ya miaka tisa ya jaribio la mapinduzi lililofeli la 2016, Uturuki inakumbuka usiku wa ukaidi, dhabihu, na msimamo ulioongozwa na raia ambao ulibadilisha mkondo wa historia yake.
Afrika yamuombeleza Muhammadu Buhari, baadhi wasifu busara zake alipokuwa rais
Buhari, 82, ambaye aliiongoza nchi hiyo kwa mara ya kwanza kama mtawala wa kijeshi baada ya mapinduzi katika miaka ya 1980, alipata wafuasi wengi kwa mfumo wake wa kupambana na rushwa.
Kisiwa cha Tiwai cha Sierra Leone kimeongezwa kwenye orodha ya Urithi wa Dunia ya UNESCO
Kazi ya miongo kadhaa ya mwanaharakati Tommy Garnett imezaa matunda baada ya Kisiwa cha Tiwai nchini Sierra Leone - kijiji chenye msitu mnene kwa mojawapo ya jamii nyingi zaidi za sokwe duniani - kuingia katika orodha ya Urithi wa Dunia wa UNESCO
Kampeni ya ujasiri ya Wasomali wasiojichubua, kupendekeza ngozi asili
Bidhaa za 'kung'arisha' ngozi kwa miongo kadhaa zimekuwa zikiuzwa katika maduka na masoko nchini Somalia lakini baadhi ya Wasomali sasa wanafanya kampeni ya ngozi ya asili kutokana na madhara ya kujichubua.
Mambo 6 ya kuzingatia kuwa mzazi bora
Kuwa mzazi ni baraka lakini pia kuna changamoto zake hasa katika kipindi hiki cha utawandazi. Mara nyingi watoto wanashawishika na maudhui tofauti ya ya mitandao ya kijamii. Haya ni baadhi ya mambo yanayoweza kukusaidia kuwa mzazi bora.
Makala ya Siasa
Hii ndio 'serikali ya wazee' nchini Cameroon
Edward Josaphat Qorro
Sudan Kusini yatimiza miaka 14 ya uhuru huku ikikabiliwa na changamoto za usalama
Tanzania yavisha mifugo hereni za kielektroniki, wafugaji kunufaika na soko la kimaitaifa
Ronal Sonyo
Utajiri wa Afrika: Mafuta ya Sudan Kusini
Baada ya kupata uhuru mwaka Julai 2011 kutoka Sudan, Sudan Kusini ilirithi takriban asilimia 75 ya uzalishaji wa mapipa ya mfuta 470,000 kwa siku ambayo ilikuwa ikifanyika Sudan kwa jumla.
Na
Coletta Wanjohi
Hizi ni baadhi ya dalili kwamba umemvutia, lakini anakusubiri uchukue hatua
Katika maisha ya kawaida, ni jambo la kawaida kwa watu wa jinsia mbili tofauti kujikuta wamevutiwa. Hii inaweza kutoka mahali popote ikiwemo mtaani unapoishi au hata sehemu ya kazi.
Sudan Kusini na maajabu ya uhamaji wa Swala
Uhamiaji wa swala nchini Sudan Kusini hufanyika kati ya mwezi Januari na Juni ya kila mwaka, ukihusisha swala wenye masikio na aina nyingine ya wanyama hao, ijulikanayo kama 'tiang'.
Na
Coletta Wanjohi
Mitindo ya ususi na historia ya ukombozi dhidi ya utumwa
Kulingana na wanahistoria, wakati mwingine, mistari ya misuko kichwani, iliashiria njia za siri za kukwepa mashamba ya wakoloni na wazungu waliomiliki watumwa.
Na
Yusuf Dayo
Unajua kutembea bila viatu kuna faida zake ?
Utafiti uliochapishwa katika Jarida la Mazingira na Afya ya Umma unapendekeza kwamba kutembea bila viatu - hasa moja kwa moja katika ardhi asili - kunaweza kupunguza maumivu na kuboresha usingizi.
Afrika yapambana na ukosefu wa chanjo ya Mpox, ugonjwa wa kipindupindu ukiongezeka
Hadi kufikia mwezi Julai 2025, Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa Barani Afrika (Africa CDC) kilikuwa kimerekodi maambukizi 25,175 kutoka mataifa 23.
Na
Coletta Wanjohi
Sir Alex Ferguson: Shujaa wa Manchester United
Bila shaka unamkumbuka Sir Alex Ferguson au Babu Fergie wa Manchester United.
By
Wazir Khamsin
Waandishi
Coletta Wanjohi
Tanzania na maajabu ya mchanga unaohama ndani ya mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro
2 dk kusoma
Mustafa Abdulkadir
Zohran Kwame Mamdani, mzaliwa wa Uganda anayepigania kiti cha Umeya jijini New York
2 dk kusoma
Susan Mwongeli
Sierra Leone inaimarisha ushirikiano na Uturuki
7 dk kusoma
Coletta Wanjohi
Hawa ndio marais na viongozi wa Afrika waliozikwa nje ya nchi zao
3 dk kusoma
Miaka 40 ya Yoweri Museveni wa Uganda
Nchi ya Uganda iko katika eneo la Afrika Mashariki, ni nchi yenye watu milioni 50 na inafanya uchaguzi wake mkuu baada ya kila miaka mitano.
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.