Kwa ufupi tu
swahili
swahili
MAKALA MAALUM
Utajiri wa Afrika: Misri, kiongozi wa ukulima wa uvuvi
Sekta hii inakadriwa kuwa na thamani ya zaidi ya dola za Marekani bilioni 3.5 huku ikitoa ajira kwa zaidi ya watu 300,000.
Na
Coletta Wanjohi
SIASA
UTURUKI
AFRIKA
JARIDA
MAONI
MICHEZO
Makala kuu wiki hii
Kakuma: Jinsi kambi ya wakimbizi ya Kenya inavyopigia upatu nishati safi
Mapambano ya kambi ya wakimbizi dhidi ya njaa na ukataji miti huibua mapinduzi endelevu ya nishati zilizotengenezwa kutokana na taka.
DRC yawarudisha sokwe walio hatarini kutoweka katika Hifadhi ya Kitaifa ya Virunga
Sokwe wa mashariki waliorejeshwa wanatarajiwa kutoa nyongeza muhimu ya kinasaba kwa idadi ndogo, iliyotengwa ya wanane pekee wanaoishi kwenye Mlima Tshiaberimu.
Ihram katika Hajj: Kwa nini mahujaji wa Kiislamu huvaa shuka jeupe?
Takriban Waislamu milioni mbili kutoka kote duniani wanatazamiwa kuhudhuria ibada ya Hajj ya mwaka huu nchini Saudi Arabia. Jambo moja la kuvutia zaidi ni shuka jeupe linalovaliwa na mahujaji linalojulikana kama Ihram.
Mambo ya kujifunza kutoka kwa Maisha ya mwanafasihi Ngugi wa Thiong'o
Ngũgĩ wa Thiong'o, ambaye alifariki Mei 28 akiwa na umri wa miaka 87, alikuwa gwiji wa fasihi ya Kiafrika - msimulizi wa hadithi ambaye alifungwa jela, na baadaye kwenda kuishi uhamishoni.
Na
Aisha Haji
Uganda yakaribisha mahujaji Wakristu wa Namugongo
Namugongo nchini Uganda ina mojawapo ya maeneo makubwa zaidi ya Hija ya Kikristo barani Afrika kwa ajili ya kuwakumbuka Waanglikana 23 na wengine 22 wa Kikatoliki ambao waliuawa kati ya 1885 na 1887 kwa amri ya mfalme wa Buganda, Kabaka Mwanga II.
Makala ya Siasa
Safari ya bara la Afrika na mabadiliko ulimwenguni
Susan Mwongeli na Millicent Akeyo
Mzigo wa Burundi: Wakimbizi wa DRC waliokwama katikati ya vita na majanga
Pauline Odhiambo
Hofu na matumaini, vita vya Sudan vikiingia mwaka wa tatu
Sylvia Chebet
Koitalel Arap Samoei aendeleza alipoachia baba yake
Kwa kipindi cha zaidi 10, aliendesha mapambano dhidi ya vikosi vya Waingereza, hususani uwepo wa reli ya Uganda.
Na
Edward Josaphat Qorro
Vita mara mbili: Wasudan washikwa katika njia panda ya vita na kipindupindu
Mchanganyiko hatari wa vita, kuhama, uharibifu wa huduma muhimu na miundombinu na milipuko ya magonjwa imekuwa ukweli wa kila siku kwa mamilioni ya watu nchini Sudan, miaka miwili baadaye.
Utajiri wa Afrika: Wafahamu Sili wa kahawia kutoka Afrika Kusini
Kando ya pwani ya Namibia na pwani ya Magharibi na Kusini mwa Afrika Kusini, ndiko wanapopatikana sili wa kipekee, wenye manyoya ya kahawia.
Na
Coletta Wanjohi
Soka yarejea Somalia: Eto'o, Adebayor, Okocha waingia uwanjani
Samuel Eto’o, Emmanuel Adebayor, na Jay-Jay Okocha waliongoza mechi hiyo huku soka la Somalia likiwa na ndoto ya kufufuka baada ya vita. Ni njia ya nchi kuuambia ulimwengu wa michezo: Tumerudi.
Marufuku ya wamiliki wa usafiri wa umma inavyoathiri vipato vya wasafirishaji binafsi
Uganda imepitisha sera mpya ya serikali ya kupiga marufuku wawekezaji binafsi katika usafiri wa umma. Sera hiyo mpya inafuatia kuongezeka kwa ajali za barabarani ambazo zinahusishwa na magari yaliyo katika hali hatari ya kiufundi na utovu wa nidhamu
Faida ya mahujaji kuzikwa katika miji mitukufu
Msimu wa Waislamu kwenda Makkah nchini Saudi Arabia umefika, na tayari baadhi ya waumini wameanza safari hiyo kuelekea katika ardhi tukufu kwa ajili ya kutekeleza ibada ambayo ni moja ya nguzo muhimu katika dini ya Kiislamu.
Na
Wazir Khamsin
Kimnyole Arap Turukat: Shujaa na mtabiri kutoka milima ya Nandi nchini Kenya
Jamii ya Wanandi ilisifika kama jeshi imara, chini ya uongozi wa Kimnyole, licha ya ugomvi wa mara kwa mara jamii ya Wamasai katika miaka ya 1870.
By
Edward Josaphat Qorro
Waandishi
Siku ya Afrika: Rais wa Ghana aomba ushirikiano kupigania kuponya bara ili kukuza maendeleo
4 dk kusoma
Coletta Wanjohi
Utajiri wa Afrika: Danakil, eneo lenye joto zaidi duniani
2 dk kusoma
Coletta Wanjohi
Safari ya Judith Jebet katika ufugaji nyuki na urinaji asali
4 dk kusoma
Mambo matano muhimu kuhusu Kapteni Ibrahim Traore wa Burkina Faso
2 dk kusoma
Umuhimu wa Hajj kwa Muislamu
Hijja ni nguzo ya tano ya Kiislamu, ni wajibu kwa mtu ambaye ana uwezo wa kiafya na kifedha kuhiji angalau mara moja katika maisha yake.
By
Mustafa Abdulkadir
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.