logo
swahili
SIASA
Je, vikwazo kwa Rwanda vitamaliza mzozo wa DRC?
Ujerumani, Uingereza, Marekani na Canada zimeiwekea Rwanda vikwazo vya biashara huku zikihusisha nchi hiyo na mzozo unaoendelea katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC.
Je, vikwazo kwa Rwanda vitamaliza mzozo wa DRC?
Trump akashifiwa baada ya kuikejeli nchi ya Lesotho
Lesotho imemjibu Rais wa Marekani Donald Trump baada ya rais huyo kusema hakuna mtu anayeijua nchi hiyo.
Trump akashifiwa baada ya kuikejeli nchi ya Lesotho
Volodymyr Zelenskyy ‘akubali yaishe’ kwa Donald Trump
Kauli hiyo pia inakuja baada ya Marekani kusitisha misaada ya kijeshi kwa nchi ya Ukraine.
Volodymyr Zelenskyy ‘akubali yaishe’ kwa Donald Trump
Maoni
Rwanda yamrudisha nyumbani Ahmed Napoleon Mbonyunkiza
Ofisi ya Taifa ya Mashataka nchini Rwanda (NPPA) imethibitisha kurejeshwa nyumbani kwa Ahmed Napoleon Mbonyunkiza kutoka Marekani.
Rwanda yamrudisha nyumbani Ahmed Napoleon Mbonyunkiza
Ujerumani kutoipa Rwanda misaada kufuatia machafuko ya DRC
Tayari, Rwanda imeshafahamishwa na Ujerumani kuhusu mpango huo.
Ujerumani kutoipa Rwanda misaada kufuatia machafuko ya DRC
Uturuki ni umuhimu kwa amani ya Ukraine, urekebishwaji wa usalama wa Ulaya— Fidan
Kulingana na mwanadiplomasia huyo mkuu nchini Uturuki, mambo yanayoendelea kwa sasa yanatoa picha tofauti ndani ya Umoja wa Ulaya, hususani msimamo wa Marekani kuhusu vita nchini Ukraine.
Uturuki ni umuhimu kwa amani ya Ukraine, urekebishwaji wa usalama wa Ulaya— Fidan
Tazama TRT Global. Shiriki maoni yako!
Contact us