Watoto 375,000 wakosa masomo DRC
Kulingana na Shirika la Save the Children, asilimia 17 ya shule katika eneo hilo, zimefungwa kutokana na machafuko yanayosababishwa na kikundi cha M23.Kulingana na Shirika la Save the Children, asilimia 17 ya shule katika eneo hilo, zimefungwa kutokana na machafuko yanayosababishwa na kikundi cha M23.