Mbwana Ally Samatta ni mwamba ambaye si mgeni kwa wengi ambao ni wapenzi wa soka na amekuwa mchezaji wa kulipwa akicheza katika mataifa mbalimbali. Raia wa kwanza wa Tanzania kucheza katika Ligi Kuu ya England.
Mbwana Ally Samatta ni mwamba ambaye si mgeni kwa wengi ambao ni wapenzi wa soka na amekuwa mchezaji wa kulipwa akicheza katika mataifa mbalimbali. Raia wa kwanza wa Tanzania kucheza katika Ligi Kuu ya England.