Vichwa vya habari:
Waziri wa Fedha wa Kenya, kuwasilisha bajeti leo, akiepuka ushuru mpya ulioibua maandamano makubwa mwaka jana
Afisa Mkuu wa Kituo cha Polisi jijini Nairobi, amekanusha madai ya kuhusika na mauaji ya Albert Ojwang
Israeli yauwa Wapalestina 80 wakiwemo walioukuwa wanatafuta misaada
Jaji wa Marekani anasema Trump hawezi kumweka kizuizini Mahmoud Khalil
Uturuki kuiuzia Indonesia ndege 48 za kivita za KAAN