logo
swahili
Dondoo za TRT Afrika | 19 Juni
02:59
02:59
Ulimwengu
Dondoo za TRT Afrika | 19 Juni
Wapiganaji wasiopungua 25 wa kundi la al-Shabaab wauawa na jeshi la Somalia na Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yakubaliana kuhusu rasimu ya amani
  1. Jeshi la Somalia lawaua magaidi wa al-shabaab wasiopungua 25 

  2. Rwanda, DRC yakubaliana kuhusu rasimu ya makubaliano ya amani

  3. Watu zaidi ya 700 hawajulikani waliko baada ya mafuriko nchini Nigeria

  4. Mataifa ya Israel na Iran yaendelea kushambuliana kwa siku ya saba

  5. Hakuna mabadiliko katika viwango vya riba vya Marekani

Sikiliza zaidi
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us