AFRIKA
1 dk kusoma
Uhamaji wa Nyumbu kutoka Serengeti hadi Maasai Mara
Inakadiriwa kuwa nyumbu wapatao milioni 1.5 na wanyama wengine kutoka Tanzania, kwenda katika Hifadhi ya Maasai Mara ya Kenya kwenda kutafuta chakula, maji na mazingira ya kuzaliana katika tukio lenye kujulikana zaidi kama ‘The Great Migration.’
Nyumbu / TRT Afrika Swahili
23 Julai 2025

Zaidi ya nyumbu milioni 1.5 wameanza safari yao kutoka Hifadhi ya Taifa ya Serengeti nchini Tanzania, wakielekea Maasai Mara nchini Kenya. Tukio hilo kubwa, huvutia mamilioni ya watalii kutoka pembe zote za dunia.

Inakadiriwa kuwa nyumbu wapatao milioni 1.5 na wanyama wengine kutoka Tanzania, kwenda katika Hifadhi ya Maasai Mara ya Kenya kwenda kutafuta chakula, maji na mazingira ya kuzaliana katika tukio lenye kujulikana zaidi kama ‘The Great Migration.’

Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us