
02:42

02:42
Tazama Video zaidi
Fahamu kinga ya anga ya Israel
Israeli na Iran wameendeleza makabiliano kwa siku ya pili huku kila upande ukimuonya mwenzake kuwa atakiona cha mtema kuni.
Makombora yametumika lakini pia mifumo ya kujikinga na makombora.
Mifumo hiyo inafanya kazi vipi?
Tazama Video zaidi