ULIMWENGU
1 dk kusoma
Israel yaivamia meli ya misaada iliyokuwa inaelekea Gaza muda mfupi baada ya ujumbe wa tahadhari
Uvamizi huo umefanyika muda mfupi baada ya meli hiyo kutoa ujumbe wa tahadhari ya kuvamiwa.
Israel yaivamia meli ya misaada iliyokuwa inaelekea Gaza muda mfupi baada ya ujumbe wa tahadhari
Vikosi vya Israel vilivamia meli hiyo ya misaada muda mfupi baada ya wito wa tahadhari. / AA
26 Julai 2025

Jeshi la Israel limevamia meli ya misaada ya Handala iliyokuwa inaelekea Gaza, ikiwa na watu 21 ndani, muda mfupi tu baada ya meli hiyo kutoa ujumbe wa tahadhari ya kuvamiwa.

Matangazo ya moja kwa moja yameonyesha wanaharakati hao wakiwa wamekaa siku ya Jumamosi, wakishikilia vichwa vyao, huku wanajeshi wakiiongoza meli hiyo.

Video tatu vya tukio hilo, zilizoonyesha tukio hilo moja kwa moja, baadae zilisitishwa.

Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us