Mbali na Gwajima kueleza kwa kina dukuduku lake hilo lakini pia alitoa ushauri kwamba ni vyema sheria ya kuwalinda viongozi wa ulinzi na usalama katika utekelezaji wa majukumu yao.

03:04

03:04
Tazama Video zaidi
Askofu Gwajima 'aliamsha dude'
Mwanasiasa na Askofu maarufu wa Tanzania, Josephat Gwajima amezua gumzo baada ya kujitokeza hadharani na kuonesha kusikitishwa kwake kutokana na matukio ya utekaji, upoteaji na vifo vya watu vinavyoendelea kuripotiwa nchini humo.
Tazama Video zaidi