logo
swahili
00:30
Afrika
Fahari ya Afrika: Ziwa Turkana
Mambo 5 ya Kuvutia kuhusu Ziwa Turkana
  1. Ziwa Turkana ndilo ziwa kubwa zaidi la kudumu linalopatikana katika jangwa, likiwa na urefu wa takribani km 250, inapatikana Kaskazini-magharibi mwa Kenya.

  2. Maji yake ya kijani yanazungukwa na maeneo ya lava na volkeno, yaliyojitokeza kutokana na asili ya kijiolojia ya volkano.

  3. Ni makazi makubwa zaidi duniani ya mamba wa Nile, pamoja na kuwa na zaidi ya aina 60 za samaki, baadhi yao wakiwa wa kipekee kwa eneo hili pekee.

  4. Pwani ya mashariki ya ziwa hili—hasa eneo la Koobi Fora—limegunduliwa kuwa na masalia ya binadamu wa kale zaidi duniani.

  5. Tangu mwaka 1997, Ziwa Turkana limeorodheshwa kama Urithi wa Dunia na UNESCO kutokana na umuhimu wake wa kiikolojia, kihistoria, na kijiolojia.

Tazama Video zaidi
Hajj 2025: Mahujaji wakusanyika Mlima arafat kwa kilele cha Hajj
Uganda: Hija ya Wakristu Namugongo
Kwa nini Waislamu wanastahabu kuzikwa Makkah?
Utajiri wa Afrika: Sili wa Afrika Kusini
Mwanafasihi maarufu Afrika Mashariki Ngugi Wa Thiong’o afariki dunia
Askofu Gwajima 'aliamsha dude'
Tatizo la gharama ya mitihani ya kitaifa Kenya
Kenya yaitaka Tanzania kumuachia mwanaharakati Boniface Mwangi
Mansa Musa: Mfalme wa Dhahabu
Kwa nini Francis Atwoli anapingwa?
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us