Wengi kupitia mitandao ya kijamii wameanza kuilaumu serikali na kusema kuwa hizo ni njama za ubadhirifu wa fedha zinazopangwa kufanywa na serikali.
Lakini sasa serikali imejitokeza na kutoa ufafanuzi kuhusu madai hayo huku ikihakikisha kuwa kuna fedha za kutosha za kugharamia mitihani hiyo.

02:01

02:01
Tazama Video zaidi
Tatizo la gharama ya mitihani ya kitaifa Kenya
Kumekuwa na madai nchini Kenya kwamba serikali haina pesa za kugharamia mitihani ya kitaifa au inataka wazazi walipie gharama za mitihani hiyo.
Tazama Video zaidi