logo
swahili
Dondoo za TRT Afrika | 17 Julai
03:29
03:29
Afrika
Dondoo za TRT Afrika | 17 Julai
Baraza la Mawaziri la Rwanda laidhinisha makubaliano ya Amani kati ya DRC na Rwanda na Watu watatu wauawa na wengine 34 kujeruhiwa kufuatia mashambulizi la Israel katika mji mkuu wa Syria.
tokea masaa 12

Vichwa vya habari:

  • Baraza la Mawaziri la Rwanda laidhinisha makubaliano ya Amani kati ya DRC na Rwanda

  • Eswatini inasema wafungwa waliofukuzwa Marekani siyo tishio kwa umma

  • Israeli yafanya mashambulio makali dhidi ya Syria

  • Israel yawaua watu 68 huko Gaza wakiwemo wanaotafuta misaada

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuku amelaani mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika Swahili 16 Julai 2025
Janga la unene
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us