logo
swahili
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
09:22
09:22
Maisha
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Katika ulimwengu wa leo, uzuri uko kila mahali—kwenye simu zetu, kwenye mitandao yetu ya kijamii, na kwenye kila jukwaa tunalopitia. Mitandao ya kijamii na washawishi wanaunda jinsi wasichana wadogo wanavyojiona. Kinachoweza kuanza kama burudani ya kutizama video za uzuri kinaweza kugeuka haraka kuwa uraibu wa utunzaji wa ngozi. Nini kinatokea pale wasichana wanapoanza kufuata viwango vya uzuri vilivyoundwa kwa ajili ya watu wazima?

Katika ulimwengu wa leo, uzuri uko kila mahali—kwenye simu zetu, kwenye mitandao yetu ya kijamii, na kwenye kila jukwaa tunalopitia. Mitandao ya kijamii na washawishi wanaunda jinsi wasichana wadogo wanavyojiona. Kinachoweza kuanza kama burudani ya kutizama video za uzuri kinaweza kugeuka haraka kuwa uraibu wa utunzaji wa ngozi. Nini kinatokea pale wasichana wanapoanza kufuata viwango vya uzuri vilivyoundwa kwa ajili ya watu wazima?

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika Swahili | 27 Juni
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Kilimo kwenye sayari
Uraibu wa mtandao
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us