27 Desemba 2024
Huenda umeisikia ikitumika kwenye mitandao ya kijamii au kwenye mijadala na mazungumzo kuhusu Palestina. Na hivi karibuni, pengine umeisikia ikiimbwa na waandamanaji duniani kote wanaopinga mashambulizi ya Israeli huko Gaza.
Huenda umeisikia ikitumika kwenye mitandao ya kijamii au kwenye mijadala na mazungumzo kuhusu Palestina. Na hivi karibuni, pengine umeisikia ikiimbwa na waandamanaji duniani kote wanaopinga mashambulizi ya Israeli huko Gaza.