Vichwa vya habari:
Waandamanaji 16 wameuawa na takriban 400 kujeruhiwa nchini Kenya
Jeshi la Sudan ladhibiti maeneo mapya kusini mwa jimbo la Blue Nile
Israel imewaua zaidi ya Wapalestina 100 katika muda wa saa 24 zilizopita
Trump kufanya mazungumzo na Iran kuhusu mpango wa nyuklia
Zelensky ataka mifumo ya ulinzi ya Marekani