logo
swahili
Dondoo za TRT Afrika Swahili | 27 Juni
02:44
02:44
Afrika
Dondoo za TRT Afrika Swahili | 27 Juni
Mahakama kuu ya Tanzania inaendelea kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Tundu Lissu na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhutubia na kuhitimisha shughuli za bunge la 12.

Vichwa vya habari:

  • Mahakama kuu ya Tanzania inaendelea kusikiliza kesi ya Tundu Lissu

  • Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhutubia na kuhitimisha shughuli za bunge la 12

  • DRC na Rwanda kutia saini makubaliano ya amani nchini Marekani

  • Kiongozi wa upinzani wa Israel ataka vita vya Gaza kusitishwa baada ya kushindwa kufikia malengo yake

  • Mazungumzo kati ya Urusi na Ukraine kufanyika tena Istanbul

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika | 26 Juni
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Kilimo kwenye sayari
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us