logo
swahili
Dondoo za TRT Afrika | 07 Agosti
03:29
03:29
Afrika
Dondoo za TRT Afrika | 07 Agosti
Salamu za rambirambi zaendelea kutolewa nchini Tanzania baada ya aliyekuwa spika wa zamani wa Bunge la nchi hiyo, kufariki dunia na Umoja wa Afrika wahuzunishwa na ajali ya helikopta iliyoua mawaziri wawili wa Ghana.
7 Agosti 2025

Vichwa vya habari:

  • Salamu za rambirambi zaendelea kutolewa kufuatia kifo cha aliyekuwa spika wa Bunge la Tanzania

  • Umoja wa Afrika wahuzunishwa na ajali ya helikopta Ghana

  • Israel yaua Wapalestina 25 waliokuwa wakisubiri msaada wa chakula

  • Jeshi la Israel latakiwa kufuata maagizo kuhusu Gaza

  • Trump anaonya juu ya vikwazo zaidi baada ya kuilenga India na ushuru

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika | 12 Agosti
Janga la unene
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us