Opinion
Kutana na Jahleel Molell, kijana wa Kitanzania anayefanya makubwa kwenye utengenezaji maudhui nchini
Hata hivyo, utengenezaji maudhui haukuwa chaguo la kwanza kwa Mollel kwani alikuwa na ndoto za kusomea shahada Teknolojia ya Mawasiliano kutoka Chuo Kikuu cha Strathmore kwa lengo la kutafuta suluhu za changamoto za kibiashara kupitia teknolojia.Hata hivyo, utengenezaji maudhui haukuwa chaguo la kwanza kwa Mollel kwani alikuwa na ndoto za kusomea shahada Teknolojia ya Mawasiliano kutoka Chuo Kikuu cha Strathmore kwa lengo la kutafuta suluhu za changamoto za kibiashara kupitia teknolojia.