logo
swahili
MAISHA

Maisha

Afrika ilivyosuuzwa na sauti tamu na ya kuvutia ya Vanessa Mdee
Katika kukuza sanaa yake, mwaka 2017, Vanessa Mdee alianzisha lebo ya muziki iitwayo Mdee Music na mwaka mmoja baadaye kuachia albamu iitwayo "Money Mondays," iliyokuwa na ngoma kama "Kisela," "Juu" na "Wet".
Afrika ilivyosuuzwa na sauti tamu na ya kuvutia ya Vanessa Mdee
Michael Olunga: Injinia wa kucheka na nyavu kutoka Kenya
Olunga almaarufu, ‘Injinia’ kutokana na taaluma yake ya uhandisi, ni nahodha wa timu ya taifa ya Kenya na mshambuliaji wa klabu ya Al Duhail ya nchini Qatar.
Michael Olunga: Injinia wa kucheka na nyavu kutoka Kenya
Miaka 25 ya Lady JayDee ndani ya tasnia ya muziki barani Afrika
Gwiji huyu wa Bongo Fleva mwenye tuzo nyingi za muziki, ndani na nje ya Tanzania, alizaliwa miaka 45 iliyopita huko mkoani Shinyanga.
Miaka 25 ya Lady JayDee ndani ya tasnia ya muziki barani Afrika
Opinion
Kisa cha Kinjekitile Ngwale na vuguvugu la Maji Maji wakati wa mapambano dhidi ya Wajerumani
Aliibuka mtu mmoja, aitwaye Kinjekitile Ngwale, Mmatumbi aliyezaliwa katika kijiji cha Ngarambe, ambaye aliwaaminisha watu kuwa alikuwa na uwezo wa kuwadhibiti Wajerumani kwa ‘imani za kishirikina’.
Kisa cha Kinjekitile Ngwale na vuguvugu la Maji Maji wakati wa mapambano dhidi ya Wajerumani
Usichokijua kuhusu mavazi maarufu yatokanayo na magome ya miti ya mikuyu nchini Uganda
Katika mila ya Baganda nguo hizo huvaliwa wakati wa kutawazwa kwa wafalme, matambiko na matibabu ya kitamaduni na hata mazishini.
Usichokijua kuhusu mavazi maarufu yatokanayo na magome ya miti ya mikuyu nchini Uganda
Msanii Fik Gaza wa Uganda ajikuta ndani ya ‘sakata la wizi’
Sakata hilo linafuatia baada ya msako wa polisi uliofanyika nyumbani kwa msanii huyo.
Msanii Fik Gaza wa Uganda ajikuta ndani ya ‘sakata la wizi’
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us