AFRIKA
1 dk kusoma
Tanzania yapokea faru weupe kutoka Afrika Kusini
Faru weupe ni kati ya wanyamapori walio hatarini kutoweka
Tanzania yapokea faru weupe kutoka Afrika Kusini
Tanzania yapokea faru weupe kutoka Afrika Kusini / TRT Afrika Swahili
6 Machi 2025

Kulingana na Waziri wa Utalii Tanzania Dkt. Pindi Chana, faru weupe ni kati ya wanyamapori walio hatarini kutoweka na hivyo kuorodheshwa kwenye makundi ya wanyamapori na mimea inayolindwa na Mkataba wa Kimataifa wa Biashara ya Wanyamapori na Mimea iliyo hatarini kutoweka (CITEs).

Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us