logo
swahili
Dondoo za TRT Afrika | 11 Julai
03:22
03:22
Ulimwengu
Dondoo za TRT Afrika | 11 Julai
Rais William Ruto atangaza rasmi uteuzi wa Mwenyekiti na Makamishna wa Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC), na Naibu mwendesha mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu anasema uhalifu dhidi ya ubinadamu unaendelea nchini Sudan.
11 Julai 2025

Vichwa vya habari:

  • Rais William Ruto atangaza rasmi uteuzi wa Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi

  • Mwanaharakati Malala Yousafzai yuko nchini Tanzania kuhimiza elimu kwa wasichana

  • Uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu unaendelea Sudan - ICC

  • Iran yasema ushirikiano wa nyuklia unategemea IAEA kukomesha ubaguzi wa viwango viwili

  • Marekani kuzuia ufikiaji wa programu za manufaa kwa wahamiaji kulingana na sera za Trump

Sikiliza zaidi
Dondoo za TRT Afrika Swahili 16 Julai 2025
Janga la unene
Sura ya Waislamu katika Bollywood
Unaijua homa ya ndege?
Palestina ya Marekani
Lugha ya Hisia
Je, miaka ni nambari tu?
Urembo kwenye mitandao ya kijamii unaathiri vipi wasichana?
Kutoka mtoni hadi baharini, Palestina itakuwa huru
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us