logo
swahili
00:53
Ulimwengu
Hajj 2025: Mahujaji wakusanyika Mlima arafat kwa kilele cha Hajj
Mamilioni ya mahujaji wanakusanyika leo Juni 5 katika Mlima Arafat nje ya jiji la Makkah ili kuadhimisha siku muhimu zaidi ya Hajj, Siku Ya Arafah.

Wengi wakiwasili mapema kabla ya mapambazuko, Waislamu kutoka matabaka mbalimbali wataitumia siku nzima katika swala na dua katika siku ambayo inachukuliwa kuwa siku muhimu zaidi katika mwaka kwa kalenda ya Kiislamu.

Waislamu ambao hawako katika Hajj wanahimizwa kufunga saumu na kutumia siku hii katika ibada huku wakijiandaa kusherehekea Iddi na kuchinja siku inayofuata.

Tazama Video zaidi
Uganda: Hija ya Wakristu Namugongo
Kwa nini Waislamu wanastahabu kuzikwa Makkah?
Utajiri wa Afrika: Sili wa Afrika Kusini
Mwanafasihi maarufu Afrika Mashariki Ngugi Wa Thiong’o afariki dunia
Askofu Gwajima 'aliamsha dude'
Tatizo la gharama ya mitihani ya kitaifa Kenya
Fahari ya Afrika: Ziwa Turkana
Kenya yaitaka Tanzania kumuachia mwanaharakati Boniface Mwangi
Mansa Musa: Mfalme wa Dhahabu
Kwa nini Francis Atwoli anapingwa?
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us