logo
swahili
BIASHARA NA UBUNIFU
Uturuki, Somalia wasaini makubaliano ya uchimbaji gesi ya ‘haidrokaboni’ baharini
Uturuki na Somalia zimesaini makubaliano ya uchimbaji wa mafuta na gesi nchi kavu, na kuruhusu TPAO kufanya kazi katika eneo la kilomita za mraba 16,000.
Uturuki, Somalia wasaini makubaliano ya uchimbaji gesi ya ‘haidrokaboni’ baharini
Nchi za Afrika zinazoongoza katika mazao ya kilimo
Nchi za Afrika zina mchango mkubwa katika uzalishaji wa mazao ya kilimo, na baadhi ya nchi hizo zinaongoza katika uzalishaji wa mazao fulani ambayo ni muhimu kwa uchumi wa bara hilo na dunia kwa ujumla.
Nchi za Afrika zinazoongoza katika mazao ya kilimo
Mikoa Tanzania iliyo na idadi kubwa ya laini za simu
Mikoa Tanzania iliyo na idadi kubwa ya laini za simu
Opinion
Lesotho yatuma ujumbe nchini Marekani kushughulikia suala la ushuru wa Trump
Nchi ya Afrika Kusini pia imesema itafanya mazungumzo na Marekani kuhusu suala la ushuru uilowekwa hivi karibuni na Trump.
Lesotho yatuma ujumbe nchini Marekani kushughulikia suala la ushuru wa Trump
Paul Kagame: Bara la Afrika halipaswi kubaki nyuma
Kulingana na Rais Kagame, ipo haja kubwa ya bara la Afrika kufanya uwekezaji wa kimkakati katika miundombinu ya kidijiti, maendeleo ya rasilimali watu na mtangamano wa bara zima ili kuhakikisha kuwa bara hilo linapata faida ya Akili Mnemba (AI).
Paul Kagame: Bara la Afrika halipaswi kubaki nyuma
Tanzania: Gharama za nishati ya petroli zazidi kupanda
Katika taarifa yake iliyotolewa Aprili 2, 2025, EWURA, wakazi wa Dar es Salaam watanunua lita moja ya petroli kwa gharama ya Dola za Kimarekani 1.14(Shilingi 3,037 za Kitanzania) kutoka Dola 1.13( Shilingi 2,996 za Kitanzania) mwezi uliopita.
Tanzania: Gharama za nishati ya petroli zazidi kupanda
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us