Kwa ufupi tu
swahili
swahili
MAONI
Namna ujasiri wa ukimya ulivyokosekana katika usalama ulimwenguni
Siku hizi kawaida ujasiri hauhitaji kupiga kelele. Unakuwa kimya kimya katika mikutano ya faragha. Inaonesha ari ya kutaka kusikiliza na kuzungumza ndani ya vyumba vya mikutano sehemu ambayo kuna wasiwasi mkubwa.
SIASA
UTURUKI
AFRIKA
JARIDA
MAONI
MICHEZO
Maoni
Raia wa Sudan kwenye njia panda kufuatia kuzidi kwa mashambulio ya Vikosi vya RSF
Shambulio la wanamgambo wa RSF dhidi ya miundombinu ya Bandari ya Sudan linaashiria ongezeko la kutisha katika vita vya wenyewe kwa wenyewe na kutishia kusambaratisha shughuli za kibinadamu, kutatiza mtiririko wa mafuta, na utulivu wa kikanda.
Kwa nini kongamano la Lomé kuhusu deni la Afrika ni hatua muhimu
Deni la Afrika la sasa ni zaidi kidogo ya 10% ya madeni ya mataifa yanayoendelea. Deni la bara la Afrika ni “tatizo” kwa sababu mifumo yake ya fedha imesababisha hali kuwa hivyo.
Raia wataka agizo la rais Tinubu la ''sasa imetosha" kuashiria utekelezaji katika kuleta usalama
Nigeria inakabiliana na ukosefu wa usalama huku magenge yenye silaha yakiteka watu na makundi ya magaidi yakiendelea kufanya mashambulizi.
Mambo matano ya kujifunza kutoka kwa Eritrea kipindi hiki cha kusitishwa kwa misaada duniani
Eritrea imekuwa imara katika kuhakikisha kuwa misaada kutoka nje inalingana na vipaumbele vyake kama taifa, msimamo uliowafanya wawe na udhibiti makini wa mipango yake ya maendeleo kuliko kutegemea maelekezo ya wafadhili yanayobadilika mara kwa mara.
Nchi za Magharibi zilifanya mzaha wa demokrasia. Sasa utani uko juu yao.
Huku wanaodaiwa kuwa wahalifu wa kivita wakipokea mapokezi ya kifalme na taasisi za haki zikiachwa, udanganyifu wa uongozi wa kimaadili unaporomoka—kufichua mfumo uliojengwa juu ya uwajibikaji uliochaguliwa na urithi wa kikoloni.
Your browser does not support the audio element.
Siasa
Kutimuliwa kwa Rasool Marekani kulipangwa na serikali ya Trump
Marekani imekosea kumpiga marufuku balozi wa Afrika Kusini Ebrahim Rasool
Namna marufuku ya Trump ya kusafiri inaweza kutatiza uhusiano wa Marekani na Pakistan
Changamoto kubwa za kiafya barani Afrika hazitatatuliwa bila wanasayansi wa kike
Wanawake walio katika umri wa kuzaa mara nyingi hawajumuishwi katika majaribio ya kimatibabu, na kuwaacha bila kupata baadhi ya matibabu ya kuokoa maisha na chaguzi chache au zisizo salama.
Bara la Afrika na simulizi za urithi na utajiri uliofichika
Bara la Afrika halikupoteza rasilimali tu kupitia ukoloni, bali pia historia yake.
Na
Dwomoh-Doyen Benjamin
Mashambulizi ya Israeli yanayoongezeka Gaza ishara ya hali mbaya kwa watu
Israeli imeendeleza mashambulizi yanayolenga kuwadhoofisha kisiasa, na kuacha Gaza ikikabiliana na hali mbaya kwa watu.
Athari za muda mrefu za vita vya Sudan katika sekta ya elimu
Mfumo wa elimu wa Sudan umekuwa hatarini hata kabla ya kuanza kwa vita. Usumbufu na maandamano mengi yalisababisha kufungwa kwa shule na vyuo vikuu kwa miezi kadhaa.
Kusitishwa kwa misaada ni janga la kimaadili na kimkakati kwa watoto duniani
Kusitishwa kwa misaada kutoka nje kumesababisha kuchukuliwa kwa maamuzi magumu, kuongeza mgogoro duniani, na kufanya maisha ya mamilioni ya watoto kuwa hatarini—yote haya yakiwa ni ukosefu wa maadili na kukosa dira ya kimkakati.
Mtazamo wa picha: Kuzingatia maadili katika upigaji picha
Kama maadili hayatatumika katika upigaji picha,huenda kukawa na mkanganyiko,wa kusambaza taswira za ukoloni kutumika katika masuala ya afya,na mashirika ya misaada katika wakati wa sasa.
Hatua za kurejesha alama za kale za Afrika zilizoibiwa
Makumbusho ya Wanawake ya Zambia yameanza kuhifadhi alama za kale kidijitali zilizoko nchini Sweden ili kuelimisha watu kuhusu utamaduni wao,ambao ulichukuliwa kutoka kwa jamii zao.
Your browser does not support the audio element.
Waandishi
Kusitishwa kwa misaada kutoka nchi za nje kutaumiza mataifa tajiri duniani
5 dk kusoma
Uchumi endelevu msingi muhimu kwa Umoja wa Afrika kutafuta haki na usawa
6 dk kusoma
Ramadhan 2025: Zaidi ya kufunga-Mwezi wa rehema na maana
4 dk kusoma
Wanafunzi wa Syria masomoni Uturuki:ushirikiano wa kidiplomasia
4 dk kusoma
Mataifa ya Kiislamu yaongoza diplomasia duniani
Kutoka Ulaya hadi Mashariki ya Kati mpaka Afrika, wanadiplomasia Waislamu wanajaza ombwe lililoachwa na nchi za Magharibi na kuongoza juhudi za kimataifa za kupata makubaliano.
Your browser does not support the audio element.
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.