Opinion
Vazi la khanga au leso lilivyofungamana na utamaduni wa waswahili
Khanga, au leso, ni kipande cha kitambaa chenye umbo la mstatili kilichotengenezwa kwa pamba na kupambwa kwa rangi tofauti, huku misemo na methali za Kiswahili zikitumika kutoa ujumbe.Khanga, au leso, ni kipande cha kitambaa chenye umbo la mstatili kilichotengenezwa kwa pamba na kupambwa kwa rangi tofauti, huku misemo na methali za Kiswahili zikitumika kutoa ujumbe.