logo
swahili
BURUDANI NA SANAA
Mawigi yapigwa marufuku katika mashindano ya urembo Côte d'Ivoire
Waandaji wa mashindano ya Miss Côte d'Ivoire wamepiga marufuku washiriki kuvaa mawigi na kuongeza nywele za bandia ili kusisitiza "urembo asili wa Kiafrika", jambo lililozua mjadala mkubwa.
Mawigi yapigwa marufuku katika mashindano ya urembo Côte d'Ivoire
Dunga, muigizaji anayekuza lahaja adimu ya kibajuni
Mfahamu Ahmed Ali Hassan, maarufu Dunga, muigizaji aliyepata umaarufu katika pwani ya Kenya. Umaarufu huo umetokana na ukuzaji wake wa lahaja ya kibajuni kupitia mitandao ya kijamii.
Dunga, muigizaji anayekuza lahaja adimu ya kibajuni
Kutana na Steven Ogallo, Mkenya aliyebuni maktaba zitembeazo
Akiwa ni mchoraji na mpiga picha, Steven anatumia uwezo wake kuandaa michoro ya kuvutia.
Kutana na Steven Ogallo, Mkenya aliyebuni maktaba zitembeazo
Atumia sauti kama chanzo cha kujiingizia kipato
Stévy Daic Ndjalala Totolo kutoka Gabon, anatumia sauti yake kama chanzo cha kujipatia kipato kutokana na kutengeneza vipindi na matangazo yenye viwango vya juu.
Atumia sauti kama chanzo cha kujiingizia kipato
Sintofahamu yaghubika kesi ya mauaji ya msanii AKA
Watuhumiwa watano wanaohusishwa na kifo hicho walifikishwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Durban mwezi Februari 2024, ikiwa ni mwaka mmoja baada ya uhalifu huo.
Sintofahamu yaghubika kesi ya mauaji ya msanii AKA
Saida Karoli, nyota iliyofifia
Mama yake ambae alikuwa na kipaji cha ngoma za kienyeji ndiye aliyempa moyo na hata kumfundisha masuala mbalimbali ya sanaa hiyo, hasa upigaji wa ngoma.
Saida Karoli, nyota iliyofifia
Tazama TRT Global. Shiriki maoni yako!
Contact us