logo
swahili
MAZINGIRA

Mazingira

Tanzania yapokea faru weupe kutoka Afrika Kusini
Faru weupe ni kati ya wanyamapori walio hatarini kutoweka
Tanzania yapokea faru weupe kutoka Afrika Kusini
Uzalishaji wa chakula Afrika upo katika hatari kubwa
Kulingana na utafiti mpya, ongezeko la joto litapunguza kwa kiasi kikubwa sehemu ya ardhi kwa ajili ya mazao ya msingi kama vile mchele, mahindi, ngano, viazi, na soya.
Uzalishaji wa chakula Afrika upo katika hatari kubwa
Uturuki na Zambia watashirikiana katika usimamizi wa maji
Balozi wa Uturuki nchini Zambia, Huseyin Barbaros Dicle, alitoa ishara ya hatua ya ushirikiano baada ya mkutano na maafisa wa Zambia.
Uturuki na Zambia watashirikiana katika usimamizi wa maji
Afrika yaadhimisha siku ya Wangari Maathai, mtetezi wa mazingira
Mnamo Januari 2012, Umoja wa Afrika (AU) uliidhinisha 3 Machi kuwa Siku ya Mazingira ya Afrika na pia Siku ya Wangari Maathai kwa kutambua mchango mkubwa wa marehemu Profesa Wangari Maathai wa kutetea mazingira.
Afrika yaadhimisha siku ya Wangari Maathai, mtetezi wa mazingira
Uchomaji maiti barani Afrika: Vuta nikuvute na Utamaduni
Nchini Kenya na kwa hakika sehemu nyingi za Afrika, shughuli za mazishi sio tu mila bali ni suala la kijamii linaloheshimu mababu na kudumisha utamaduni.
Uchomaji maiti barani Afrika: Vuta nikuvute na Utamaduni
Ubaguzi wa rangi, uchovu na kutojali: Kwa nini ulimwengu umeisahau Sudan
Sudan inakabiliwa na njaa mbaya zaidi duniani na mzozo wa watu kuyahama makazi yao, huku mamilioni wakiteseka kutokana na njaa na uhamiaji wa kulazimishwa. Hata hivyo bado hakuna majibu ya kuridhisha kutoka jumuiya ya kimataifa.
Ubaguzi wa rangi, uchovu na kutojali: Kwa nini ulimwengu umeisahau Sudan
Tazama TRT Global. Shiriki maoni yako!
Contact us