AFRIKA
1 dk kusoma
Unamfahamu Shaka mfalme wa Wazulu?
Maisha ya Shaka Zulu na ubunifu wake wa kivita uliomletea ushindi
Maisha ya Shaka Zulu na ubunifu wake wa kivita uliomletea ushindi / TRT Afrika
30 Machi 2025

Akiwa ameinukia katika hali ngumu ya kutengwa licha ya kuwa mwana wa mfalme wa Zulu, Shaka kaSenzangakhona alipata mafunzi kabambe ya kivita.

Aliweza kubuni mbinu na silaha mpya pamoja na kuwa na nidhamu isiyo na kifani.

Ubunifu wake wa kivita na uongozi wake katika kupigana ulibadilisha historia ya Wazulu na kumpandisha cheo hadi kuwa mfalme, lakini huzuni ya kumpoteza mamake ulimponza na kusababisha maadui wake kuchukua nafasi kummaliza pamoja na utawala wake.

CHANZO:TRT Afrika
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us