14 Juni 2025
ULIMWENGU
0 dk kusoma
Fahamu kinga ya anga ya Israel
Israeli na Iran wameendeleza makabiliano kwa siku ya pili huku kila upande ukimuonya mwenzake kuwa atakiona cha mtema kuni.
Makombora yametumika lakini pia mifumo ya kujikinga na makombora.
Mifumo hiyo inafanya kazi vipi?
Fahamu kinga ya anga ya Israel / TRT Afrika Swahili
Soma zaidi