AFRIKA
1 dk kusoma
Dondoo za TRT Afrika | 03 July
Mashirika ya kijamii yamewasilisha ombi katika Mahakama Kuu Kenya kutaka Waziri wa Mambo ya Ndani tangazwe kuwa hafia kushikilia wadhifa wa umma na Polisi nchini Zambia wamewakamata raia wanne wa China na wengine watatu kwa kujaribu kuiba zink oksidi
Dondoo za TRT Afrika | 03 July / TRT Afrika Swahili
3 Julai 2025
  • Mashirika ya kijamii yamewasilisha ombi katika Mahakama Kuu Kenya kutaka Waziri wa Mambo ya Ndani atangazwe kuwa hafia kushikilia wadhifa wa umma

  • Polisi nchini Zambia wamewakamata raia wanne wa China na wengine watatu kwa kujaribu kuiba zink oksidi yenye thamani ya zaidi dola 45,000

  • Mawazri wa Israel wanamtaka Netanyahu kuiweka Ukingo wa Magharibi chini ya himaya yao

  • Mkuu wa Jeshi la Anga la Pakistan ametembelea Marekani kwa mara ya kwanza katika kipindi cha muongo mmoja

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Hakan Fidan amekutana na ujumbe wa Hamas jijini Ankara

Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us