13 Juni 2025
Israeli ililenga mradi wa nyuklia wa Iran katika shambulio lisilokuwa la kawaida la moja kwa moja, pamoja na kushambulia vituo vya kurutubisha, na kuwaua wanasayansi na maafisa waandamizi wa kijeshi.Shambulio hilo linakuja huku mazungumzo ya nyuklia kati ya Marekani na Iran yakiwa yamekwama, huku Iran ikikaribia kuimarisha madini ya uranium kufikia kiwango cha kutumika kama silaha.Haya ndio maeneo yaliyolengwa.