Kwa ufupi tu
swahili
swahili
MAKALA MAALUM
Kwa Picha: Maisha ya Kila Siku Zanzibar
Mji Mkongwe wa Zanzibar ni Eneo la Urithi wa Dunia wa UNESCO, unaofanana na jumba la makumbusho lililo wazi na mitaa yake nyembamba, masoko ya rangi na usanifu wa kuvutia.
Your browser does not support the audio element.
SIASA
UTURUKI
AFRIKA
JARIDA
MAONI
MICHEZO
Makala kuu wiki hii
Ihram katika Hajj: Kwa nini mahujaji wa Kiislamu huvaa shuka jeupe?
Takriban Waislamu milioni mbili kutoka kote duniani wanatazamiwa kuhudhuria ibada ya Hajj ya mwaka huu nchini Saudi Arabia. Jambo moja la kuvutia zaidi ni shuka jeupe linalovaliwa na mahujaji linalojulikana kama Ihram.
Mambo ya kujifunza kutoka kwa Maisha ya mwanafasihi Ngugi wa Thiong'o
Ngũgĩ wa Thiong'o, ambaye alifariki Mei 28 akiwa na umri wa miaka 87, alikuwa gwiji wa fasihi ya Kiafrika - msimulizi wa hadithi ambaye alifungwa jela, na baadaye kwenda kuishi uhamishoni.
Na
Aisha Haji
Uganda yakaribisha mahujaji Wakristu wa Namugongo
Namugongo nchini Uganda ina mojawapo ya maeneo makubwa zaidi ya Hija ya Kikristo barani Afrika kwa ajili ya kuwakumbuka Waanglikana 23 na wengine 22 wa Kikatoliki ambao waliuawa kati ya 1885 na 1887 kwa amri ya mfalme wa Buganda, Kabaka Mwanga II.
Koitalel Arap Samoei aendeleza alipoachia baba yake
Kwa kipindi cha zaidi 10, aliendesha mapambano dhidi ya vikosi vya Waingereza, hususani uwepo wa reli ya Uganda.
Na
Edward Josaphat Qorro
Vita mara mbili: Wasudan washikwa katika njia panda ya vita na kipindupindu
Mchanganyiko hatari wa vita, kuhama, uharibifu wa huduma muhimu na miundombinu na milipuko ya magonjwa imekuwa ukweli wa kila siku kwa mamilioni ya watu nchini Sudan, miaka miwili baadaye.
Makala ya Siasa
Safari ya bara la Afrika na mabadiliko ulimwenguni
Susan Mwongeli na Millicent Akeyo
Mzigo wa Burundi: Wakimbizi wa DRC waliokwama katikati ya vita na majanga
Pauline Odhiambo
Hofu na matumaini, vita vya Sudan vikiingia mwaka wa tatu
Sylvia Chebet
Utajiri wa Afrika: Wafahamu Sili wa kahawia kutoka Afrika Kusini
Kando ya pwani ya Namibia na pwani ya Magharibi na Kusini mwa Afrika Kusini, ndiko wanapopatikana sili wa kipekee, wenye manyoya ya kahawia.
Na
Coletta Wanjohi
Soka yarejea Somalia: Eto'o, Adebayor, Okocha waingia uwanjani
Samuel Eto’o, Emmanuel Adebayor, na Jay-Jay Okocha waliongoza mechi hiyo huku soka la Somalia likiwa na ndoto ya kufufuka baada ya vita. Ni njia ya nchi kuuambia ulimwengu wa michezo: Tumerudi.
Marufuku ya wamiliki wa usafiri wa umma inavyoathiri vipato vya wasafirishaji binafsi
Uganda imepitisha sera mpya ya serikali ya kupiga marufuku wawekezaji binafsi katika usafiri wa umma. Sera hiyo mpya inafuatia kuongezeka kwa ajali za barabarani ambazo zinahusishwa na magari yaliyo katika hali hatari ya kiufundi na utovu wa nidhamu
Faida ya mahujaji kuzikwa katika miji mitukufu
Msimu wa Waislamu kwenda Makkah nchini Saudi Arabia umefika, na tayari baadhi ya waumini wameanza safari hiyo kuelekea katika ardhi tukufu kwa ajili ya kutekeleza ibada ambayo ni moja ya nguzo muhimu katika dini ya Kiislamu.
Na
Wazir Khamsin
Kimnyole Arap Turukat: Shujaa na mtabiri kutoka milima ya Nandi nchini Kenya
Jamii ya Wanandi ilisifika kama jeshi imara, chini ya uongozi wa Kimnyole, licha ya ugomvi wa mara kwa mara jamii ya Wamasai katika miaka ya 1870.
Na
Edward Josaphat Qorro
Siku ya Afrika: Rais wa Ghana aomba ushirikiano kupigania kuponya bara ili kukuza maendeleo
Katika maadhimisho ya Siku ya Afrika 2025, Rais Mahama amewataka viongozi wenzake wa Afrika kujumuika katika kupigania kuponya majeraha ya historia ya Ukoloni Afrika, na kudai fidia na msamaha kutoka kwa mataifa yaliyohusika.
Utajiri wa Afrika: Danakil, eneo lenye joto zaidi duniani
Hali ya joto katika eneo hilo inakadiriwa kufikia nyuzi joto 35, wakati mwingine hufikia 50.
By
Coletta Wanjohi
Waandishi
Coletta Wanjohi
Safari ya Judith Jebet katika ufugaji nyuki na urinaji asali
4 dk kusoma
Mambo matano muhimu kuhusu Kapteni Ibrahim Traore wa Burkina Faso
2 dk kusoma
Mustafa Abdulkadir
Umuhimu wa Hajj kwa Muislamu
4 dk kusoma
Naomi William
Ajali ya Mv Bukoba: Mamlaka za Tanzania zazidi kujipanga, miaka 29 baadaye
6 dk kusoma
Gugumaji jipya linavyotishia uhai wa viumbe hai Ziwa Victoria, Tanzania
Nchini Tanzania Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo aina mpya ya gugumaji lijulikanalo kama ‘Salvinia SPP’ limebainika ndani ya Ziwa Victoria.
By
Naomi William
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.