tokea masaa 17
Sheria hii mpya, inalingana na kampeni ya kuzuia mapenzi ya jinsia moja, inatoa adhabu ya kifungo cha hadi miaka mitano gerezani.
Mapenzi ya jinsia moto ni kinyume na sheria katika takriban nchi 30 za Afrika, kabla ya Burkina Faso kuchukua hatua hiyo.
Zilizopendekezwa
"Wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja au vitendo vyengine vya aina hiyo watapigwa faini na kufungwa jela kati ya miaka miwili hadi mitano," alisema Waziri wa Katiba, Edasso Rodrigue Bayala, kupitia kituo cha taifa cha habari RTB.
Nchi jirani ya Mali, ambayo ni mshirika mkubwa wa Burkina Faso, nayo ilipitisha sheria kama hiyo mwezi Novemba 2024.
CHANZO:AFP