ULIMWENGU
1 DK KUSOMA
Wapalestina wauwawa katika shambulizi la shule mjini Gaza
Mauaji ya kimbari ya Israeli dhidi ya Gaza yameingia siku ya 302, yakiwa yameua Wapalestina 39,550, wengi wakiwa ni wanawake na watoto, na kujeruhi zaidi ya 91,280.
Wapalestina wauwawa katika shambulizi la shule mjini Gaza
Jeshi la Israeli limelipua chuo katika mji wa Gaza./ Picha: AA   / Others
3 Agosti 2024
Kionjo cha TRT Global. Tupe mrejesho wako.
Contact us